Martha Mwaipaja - Ni Tabibu Lyrics
Lyrics
Ni tabibu wa karibu, tabibu wa ajabu Na neema za daima ni dawa yake njema Hatufai kuwa hai, wala hatutumai
Ila yeye kweli ndiye atupumzishae Imbeni malaika sifa za Yesu bwana Pekee limetukuka, jina lake Yesu Dhambi pia na hatia ametuchukulia
Twenendeni na amani, hata kwake mbinguni Uliona damu jina la Yesu kristo bwana Yu na sifa kwenye kufa asiishidwe na kufa Imbeni malaika, sifa za Yesu bwana Pekee limetukuka jina lake Yesu
Kila mume asimame, sifa zake zivume Wanawake na wasiiche kusifu jina lake Imbeni...
Video
Martha Mwaipaja - Ni Tabibu (Official Music Video)