Martha Mwaipaja - Ni Tabibu Lyrics

Lyrics

Ni tabibu wa karibu, tabibu wa ajabu Na neema za daima ni dawa yake njema Hatufai kuwa hai, wala hatutumai

Ila yeye kweli ndiye atupumzishae Imbeni malaika sifa za Yesu bwana Pekee limetukuka, jina lake Yesu Dhambi pia na hatia ametuchukulia

Twenendeni na amani, hata kwake mbinguni Uliona damu jina la Yesu kristo bwana Yu na sifa kwenye kufa asiishidwe na kufa Imbeni malaika, sifa za Yesu bwana Pekee limetukuka jina lake Yesu

Kila mume asimame, sifa zake zivume Wanawake na wasiiche kusifu jina lake Imbeni...

Video

Martha Mwaipaja - Ni Tabibu (Official Music Video)

Thumbnail for Ni Tabibu video
Loading...
In Queue
View Lyrics