Israel Mbonyi - Nimezikumbuka Lyrics
Lyrics
Chorus : Nimezikumbuka siku za kale Nakunyoshea mikono yangu bwana Usifiwe Nimeyatafakari matendo yako Nashangaa tena, ni tamu sana kuwa na wewe Uliyatatua yote magumu Nakosa usemi, Moyo unatosheka Na wewe
Verse Katika milima na ma boonde Ulitembea na mi Hata na miali ya moto Haikunigu gusa kamwe
Nitatunza ahadi yako Rohoni mwangu Ili nisisahau kamwe Ulio yatenda Maishani mwangu
Haya yatakua mema Niyatangazie wote Nikumbukapo ni paza .. Paza Sauti, Nikuimbe.
Bridge : Ulipo nitoa nashukuru, Shukuru Nakushukuru, asante Bwana Na hapa nilipo natosheka, tosheka Nakushukuru , asante Bwana
Video
Israel Mbonyi - Nimezikumbuka