Doudou Manengu - Nina Haja nawe Lyrics

Nina Haja nawe Lyrics

Nina haja nawe Kila saa; Hawezi mwingine Kunifaa.

Yesu, nakuhitaji Vivyo kila saa! Niwezeshe, Mwokozi, Nakujia.

Nina haja nawe; Kaa nami, Na maonjo haya, Hayaumi.

Yesu, nakuhitaji Vivyo kila saa! Niwezeshe, Mwokozi, Nakujia.

Nina haja nawe; Kila hali, Maisha ni bure, Uli mbali.

Yesu, nakuhitaji Vivyo kila saa! Niwezeshe, Mwokozi, Nakujia.

Nina haja nawe, Nifundishe Na ahadi zako Zifikishe.

Yesu, nakuhitaji Vivyo kila saa! Niwezeshe, Mwokozi, Nakujia.

Nina haja nawe, Mweza yote, Ni wako kabisa Siku zote.

Yesu, nakuhitaji Vivyo kila saa! Niwezeshe, Mwokozi, Nakujia.


Nina Haja nawe Video

Nina Haja nawe Lyrics -  Doudou Manengu

Doudou Manengu Songs

Related Songs