Denno - Yahweh Lyrics
Lyrics
Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Upendo gani huo, Baba ulinipenda nao Hata ukamtoa mwanao Yesu Azaliwe kama mwanadamu afe msalabani Aniokoe mimi, mwenye dhambi eeh
Niseme nini eeh Baba Niseme nini ila niseme uinuliwe Niseme nini eeh Baba Niseme nini ila niseme uinuliwe
Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Relax, sikiza nikueleze Ni kama sina akili mi Kila nikifanikiwa Wananyakua chini chini
Relax, sikiza nimwambie eh Watu watabonga mengi Nilipokosana na mchumba Walidhani nimechizi
Niseme nini mimi? Nimechoshwa walimwengu Nimejaribu kujinyamazia Lakini bado naumia
Nifanye nini mimi Nawachia Maulana Yeye alisema atanipigania Na haya yote namuachia eh eh
Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Imba tena Yahweh
Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Umevikwa utukufu na heshima Nguvu na uweza Kila goti litakunjwa Na kila ulimi utakiri wewe ni Mungu
Uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele
Video
Denno feat. Danco - yahweh (Official Hd Video)