Denno - Yahweh Lyrics

Lyrics

Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Upendo gani huo, Baba ulinipenda nao Hata ukamtoa mwanao Yesu Azaliwe kama mwanadamu afe msalabani  Aniokoe mimi, mwenye dhambi eeh

Niseme nini eeh Baba Niseme nini ila niseme uinuliwe Niseme nini eeh Baba Niseme nini ila niseme uinuliwe

Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Relax, sikiza nikueleze Ni kama sina akili mi Kila nikifanikiwa  Wananyakua chini chini

Relax, sikiza nimwambie eh Watu watabonga mengi Nilipokosana na mchumba Walidhani nimechizi

Niseme nini mimi? Nimechoshwa walimwengu Nimejaribu kujinyamazia Lakini bado naumia

Nifanye nini mimi Nawachia Maulana Yeye alisema atanipigania Na haya yote namuachia eh eh

Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Imba tena Yahweh

Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Umevikwa utukufu na heshima Nguvu na uweza Kila goti litakunjwa Na kila ulimi utakiri wewe ni Mungu

Uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele Yahweh uinuliwe milele Baba uabudiwe milele

Video

Denno feat. Danco - yahweh (Official Hd Video)

Thumbnail for Yahweh video
Loading...
In Queue
View Lyrics