Daddy Owen - Neema Yake Lyrics
Lyrics
Jina lake la vuma la vuma Pokea baraka leo Jina lake la vuma la vuma Pokea baraka leo Jina lake la vuma la vuma Pokea baraka leo Jina lake! Pokea baraka leo
Neema yake Inatosha Inatosha Neema yake Inatosha Inatosha Kanitoa chini Kaniweka juu Kanitoa chini Kaniweka juu
Kwenye shida unanitoa Weh ni Baba Ba Dakitari wa Kiroho Weh ni Baba Bado mimi nakuamini Weh ni Baba Ba Aaii umeniponya Baba Fadhili zako kipekee Na sifa milele Baraka nipokee Weh ni Baba Ba Kanitoa kwa mashida Na vita nimeshinda Kwa kweli wanipenda Weh ni Baba Ba
Neema yake Inatosha Inatosha Neema yake Inatosha Inatosha Kanitoa chini Kaniweka juu Kanitoa chini Kaniweka juu
Si eti kama mi sina dhambi Mi mwenye dhambi Si eti kama mimi msafi Si eti kwamba nastahili Mie sifahi Kuokolewa ni kwa imani Najua umelia sana Sana! Kuteseka sana Sana! Mtazamie Baba Yeye anajibu Najua umelia sana Sana! Kuteseka sana Sana! Mtazamie Baba Yeye anajibu
Neema yake Inatosha Inatosha Neema yake Inatosha Inatosha Kanitoa chini Kaniweka juu Kanitoa chini Kaniweka juu
Nipe moja! Nipe mbili! Nipe tano! Nipe moja! Nipe mbili! Nipe tano!
Neema yake Inatosha Inatosha Neema yake Inatosha Inatosha Kanitoa chini Kaniweka juu Kanitoa chini Kaniweka juu
Video
NEEMA YAKE BY DADDY OWEN (Official Video)