Daddy Owen - Neema Yake Lyrics

Lyrics

Jina lake la vuma la vuma  Pokea baraka leo Jina lake la vuma la vuma Pokea baraka leo Jina lake la vuma la vuma Pokea baraka leo Jina lake! Pokea baraka leo

Neema yake  Inatosha Inatosha  Neema yake  Inatosha Inatosha  Kanitoa chini  Kaniweka juu Kanitoa chini  Kaniweka juu

Kwenye shida unanitoa  Weh ni Baba Ba Dakitari wa Kiroho  Weh ni Baba  Bado mimi nakuamini  Weh ni Baba Ba Aaii umeniponya  Baba Fadhili zako kipekee  Na sifa milele  Baraka nipokee  Weh ni Baba Ba Kanitoa kwa mashida  Na vita nimeshinda  Kwa kweli wanipenda Weh ni Baba Ba

Neema yake  Inatosha Inatosha  Neema yake  Inatosha Inatosha  Kanitoa chini  Kaniweka juu Kanitoa chini  Kaniweka juu

Si eti kama mi sina dhambi  Mi mwenye dhambi  Si eti kama mimi msafi  Si eti kwamba nastahili  Mie sifahi  Kuokolewa ni kwa imani  Najua umelia sana Sana! Kuteseka sana Sana!  Mtazamie Baba  Yeye anajibu Najua umelia sana Sana! Kuteseka sana Sana!  Mtazamie Baba  Yeye anajibu

Neema yake  Inatosha Inatosha  Neema yake  Inatosha Inatosha  Kanitoa chini  Kaniweka juu Kanitoa chini  Kaniweka juu

Nipe moja! Nipe mbili! Nipe tano! Nipe moja! Nipe mbili! Nipe tano!

Neema yake  Inatosha Inatosha  Neema yake  Inatosha Inatosha  Kanitoa chini  Kaniweka juu Kanitoa chini  Kaniweka juu

Video

NEEMA YAKE BY DADDY OWEN (Official Video)

Thumbnail for Neema Yake video
Loading...
In Queue
View Lyrics