Agape Gospel Band + Neema Gospel Choir - Unanitendeanga Mema Lyrics
Lyrics
Unanitendeanga mema, unanitendeanga mema Unanifutanga machozi, unanifutanga machozi Wewe ni Mungu wa upendo, ni Mungu wa upendo Hakuna kama wewe, hakuna kama wewe
Verse Sitaacha kukusifu milele Yale umetenda kwangu hayahesabiki Mungu ni upendo na upendo ni wewe Maana upendo halisi watoka kwako Baba Ulimtuma mwana wako wa pekee Ili tupate uzima wa milele Huyu Yesu, eh Mungu pamoja nasi Huyu Yesu jamani, eh Mungu pamoja nasi
Bridge
Upendo wako kwangu, upendo wa pekee
Ninasema upendo wako kwangu, Yesu we
Ah upendo wako kwangu Yesu, upendo wa pekee
Refrain Amina amina, amina lele Amina amina, amina lele (The song concludes with celebratory praises, dancing, and repeated refrains of "Amina")
Video
Unanitendeanga mema instrumentals by Agape gospel band ft neema gospel choir