Agape Gospel Band + Neema Gospel Choir - Unanitendeanga Mema Lyrics

Lyrics

Unanitendeanga mema, unanitendeanga mema Unanifutanga machozi, unanifutanga machozi Wewe ni Mungu wa upendo, ni Mungu wa upendo Hakuna kama wewe, hakuna kama wewe

Verse Sitaacha kukusifu milele Yale umetenda kwangu hayahesabiki Mungu ni upendo na upendo ni wewe Maana upendo halisi watoka kwako Baba Ulimtuma mwana wako wa pekee Ili tupate uzima wa milele Huyu Yesu, eh Mungu pamoja nasi Huyu Yesu jamani, eh Mungu pamoja nasi

Bridge Upendo wako kwangu, upendo wa pekee
Ninasema upendo wako kwangu, Yesu we Ah upendo wako kwangu Yesu, upendo wa pekee

Refrain Amina amina, amina lele Amina amina, amina lele (The song concludes with celebratory praises, dancing, and repeated refrains of "Amina")

Video

Unanitendeanga mema instrumentals by Agape gospel band ft neema gospel choir

Thumbnail for Unanitendeanga Mema video
Loading...
In Queue
View Lyrics