Sounds of Afrika - Wewe ni Mkuu Lyrics

Lyrics

Umevikwa Utukufu Na heshima ni zako Enzi yako, na mamlaka Zinadumu milele

Nitakiri, kwa kinywa changu Kwamba wewe ni Mungu mkuu Viumbe vyote, Vikushukuru Vikisema wewe ni Mkuu

Hakika, wewe ni Mungu Umetenda, maajabu  Umejaa, hekima na rehema Hakika wewe ni mkuu

Khalvari, kasulubiwa, ili mimi niishi Dhambi zangu, kazisafisha Sasa mimi ni huru Kwako wewe, nitasimama

Mwamba imara asiyeshindwa  Mwili wangu, na nafsi yangu Maisha yangu, natoa kwako 

Video

Sounds of Worship - WEWE NI MKUU (Official Music Video)

Thumbnail for Wewe ni Mkuu video
Loading...
In Queue
View Lyrics