Sounds of Afrika - Wewe ni Mkuu Lyrics
Lyrics
Umevikwa Utukufu Na heshima ni zako Enzi yako, na mamlaka Zinadumu milele
Nitakiri, kwa kinywa changu Kwamba wewe ni Mungu mkuu Viumbe vyote, Vikushukuru Vikisema wewe ni Mkuu
Hakika, wewe ni Mungu Umetenda, maajabu Umejaa, hekima na rehema Hakika wewe ni mkuu
Khalvari, kasulubiwa, ili mimi niishi Dhambi zangu, kazisafisha Sasa mimi ni huru Kwako wewe, nitasimama
Mwamba imara asiyeshindwa Mwili wangu, na nafsi yangu Maisha yangu, natoa kwako
Video
Sounds of Worship - WEWE NI MKUU (Official Music Video)