Mwenyehaki - Nakupenda Lyrics

Lyrics

Oooh oooh, oooh oooh Oooh oooh, oooh oooh

Kama mpenzi nakuandikia barua Sanduku la posta ningelijua Ningetuma kwa residential Private and confodential

Ningekueleza Vile nakupenda Hata usiku na giza Hata kuwe mchana na jua

Ningekueleza Vile nakupenda Hata usiku na giza Hata kuwe mchana na jua

Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda

Kama mpenzi nakuletea maua Flavour yako ningelijua Ningeleta specifically Mimi mwenyewe personally

Lakini flavour yako si maua Ni tabia nzuri na dua Ninazozifanya kila siku  Baba na sijisifu

Sio mimi pekee yangu Baba Pia Pitson akupenda Sio mimi pekee yangu Baba Jacky B akupenda

Sio mimi pekee yangu Baba Kenya yote yakupenda Naona huyu na huyo Na yule na yule, wote wakupenda

Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda

Oooh oooh, oooh oooh Oooh oooh, oooh oooh

Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda

Hubadiliki kamwe Ulinipenda mwanzo Ulinipenda

Video

Nakupenda - Mwenyehaki Official 4k Video (SMS Skiza 5430027 to 811)

Thumbnail for Nakupenda video
Loading...
In Queue
View Lyrics