Mwenyehaki - Nakupenda Lyrics
Lyrics
Oooh oooh, oooh oooh Oooh oooh, oooh oooh
Kama mpenzi nakuandikia barua Sanduku la posta ningelijua Ningetuma kwa residential Private and confodential
Ningekueleza Vile nakupenda Hata usiku na giza Hata kuwe mchana na jua
Ningekueleza Vile nakupenda Hata usiku na giza Hata kuwe mchana na jua
Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda
Kama mpenzi nakuletea maua Flavour yako ningelijua Ningeleta specifically Mimi mwenyewe personally
Lakini flavour yako si maua Ni tabia nzuri na dua Ninazozifanya kila siku Baba na sijisifu
Sio mimi pekee yangu Baba Pia Pitson akupenda Sio mimi pekee yangu Baba Jacky B akupenda
Sio mimi pekee yangu Baba Kenya yote yakupenda Naona huyu na huyo Na yule na yule, wote wakupenda
Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda
Oooh oooh, oooh oooh Oooh oooh, oooh oooh
Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda Nakupenda Baba nakupenda
Hubadiliki kamwe Ulinipenda mwanzo Ulinipenda
Video
Nakupenda - Mwenyehaki Official 4k Video (SMS Skiza 5430027 to 811)