Israel Mbonyi - Uwe Hai Lyrics

Album: Uwe Hai - EP
Released: 20 Nov 2024
iTunes Amazon Music

Lyrics

Verse 

Mbali ninayatupa hayo yote yakushirakiyo 

Maana Mii Ni Mwenyezi Mungu, Usinzie nakufunika 

Tena Mimi Niko Naweza kukutunza 

kwa Neno la Kinywani mwangu 


Na utayalalia haya Maneno 

Kisha na mkono wangu 

utakandamiza malengo ya wabaya

Maana Mimi Niko 

Nitakulinda kwa gongo la Upendo wangu 

Uwe hai, natamka, uwe hai. 


Chorus :

Uwe hai, eweee Uwe hai 

Uwe hai, eweee Uwe hai 

Wee mifupa ilio kauka , Ewe uwe hai 

Wee mifupa mikavu ewe uwe hai 

Akanitazama kwa utele wa upendo wake, 

Eti uwe hai 

Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake, 

Eti uwe hai. 


Bridge : 

Uko na alama ya damu yake mpenzi 

We ni wangu mi wako ooh 

Hayo ninayasema.

Video

Israel Mbonyi - Uwe Hai

Thumbnail for Uwe Hai video
Loading...
In Queue
View Lyrics