Israel Mbonyi - Sitamuacha Lyrics

Album: Sitamuacha - EP
Released: 21 Oct 2025
iTunes Amazon Music

Lyrics

Intro:
Nilie mtambua, Hakuna kitatutenganisha
Hakuna Atakae ninyang’anya taji langu

Ayeeee , nimeshika Sitamuacha

Verse:
Mtini usipo chanua, mizabibu isitoe matunda
Bado nitamufurahia wamilele bwana wangu
Haya yanitia moyo, Ni mchungaji wa upendo
Aliacha tisini na tisa, kaja kutafuta moja.

Pres-chorus
Amenibadilishia huzuni, aka Nipa furaha ya kweli
Bahati gani niliyo nayo, kuwa Mrithi na Kristo .

Chorus:
Kipi kitanitenga na upendo wake
Maafa na majanga oh Hayawezi
Ya Leo na yajayo nayo hayawezi
Ayeee nimemshika sitamuacha

Bridge:
Nimemuona usiku na mchana,
Mkono wake umenitendea
Kila mlima aliusambaza

Video

Israel Mbonyi - Sitamuacha

Thumbnail for Sitamuacha video
Loading...
In Queue
View Lyrics