Benachi - Anajua Lyrics

Lyrics

Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Roho inadunda dunda (Dunda) Na tena machozi yanakutoka Mungu anaplan na wewe  Usiwe na hofu wewe

Alikokutoa ni mbali  Unakoenda ni mbali Jifunze kuwa na imani Mmmh kuwa na imani

Subiri subiria kwa imani Hautodumu kwenye hii hali Ahadi zake hazitumiki milele Kwenye hali zote Mungu yupo nawe Ahadi zake hazitumiki milele Milele eh, milele eh, aah

Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Ona mama analia watoto wanalia Hata ndani ya nyumba yako umeshindwa kutulia Vumilia Mungu anakushughulia One time inna dis time wote watashangilia

Ona Sarah alilia sana ii Na mwishowe akapata mwana ayayaya.. Mungu amesikia ombi lako amesikia  Mungu amesikia ombi lako amesikia 

Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Video

ANAJUA- Benachi ft Guardian Angel

Thumbnail for Anajua video
Loading...
In Queue
View Lyrics