Benachi - Anajua Lyrics
Lyrics
Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Roho inadunda dunda (Dunda) Na tena machozi yanakutoka Mungu anaplan na wewe Usiwe na hofu wewe
Alikokutoa ni mbali Unakoenda ni mbali Jifunze kuwa na imani Mmmh kuwa na imani
Subiri subiria kwa imani Hautodumu kwenye hii hali Ahadi zake hazitumiki milele Kwenye hali zote Mungu yupo nawe Ahadi zake hazitumiki milele Milele eh, milele eh, aah
Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Ona mama analia watoto wanalia Hata ndani ya nyumba yako umeshindwa kutulia Vumilia Mungu anakushughulia One time inna dis time wote watashangilia
Ona Sarah alilia sana ii Na mwishowe akapata mwana ayayaya.. Mungu amesikia ombi lako amesikia Mungu amesikia ombi lako amesikia
Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Video
ANAJUA- Benachi ft Guardian Angel