Martha Mwaipaja - Nimesikia Sauti Lyrics

Lyrics

Nimesikia sauti nyiingi  Iliyoniponya ni ya YESU uuh! Nimeambiwa habari nyiingi mi Iliyo nivusha ni ya YESU

Nimesikia sauti nyingi sana mimi Iliyo ni ganga moyo ni ya YESU Nimeambiwa vitu vingi sana Nilipo ambiwa na YESU nikapoona

Aah YESU ni tumaini  Mahali pamepoteza time Nilipaza sauti ili watu wanielewe Akanielewa Masia

Nikajaribu jitetea watu wajue  Akaniambia nimekutetea mwanangu Akaniuliza una msikiliza nani Nisikilize mwanangu utapona

Akasema ondoa aah kusikiliza wengine Ukinisikiliza mimi utaishi Nimesikia sauti za watu wengi Lakini ya YESU ikaniponya eeeh! Nimesikia (Sikia) sauti nyiingi

Ikiniambia, iliyoniponya (Endelea)  Ni ya YESU (Nimekujua aah!) Nimesikia (Eeh) sauti nyiingi  Sauti ya YESU, Iliyoniponya (Ni ya upole) Ni ya YESU uuh!

Aaaah ahsante YESU wangu Umeponya wema wangu Baba aah Uuuuh uuh hallelujah YESU wewe ni wa wote eeh Naomba Baba sikika kwa wengine Wengi wamekosa,  pakuelekea

Wakikusikia wewe watapona aaah Wameambiwa hawataweza kabisa Wakikusikia Masia wataweza Ameambiwa hawana tumaini Ukisikika kwao wataishi Uliposikika Israel walitoka Misri  

Video

Martha Mwaipaja-Nimesikia Sauti (Official Video)

Thumbnail for Nimesikia Sauti video
Loading...
In Queue
View Lyrics