Martha Mwaipaja - Nimesikia Sauti Lyrics
Lyrics
Nimesikia sauti nyiingi Iliyoniponya ni ya YESU uuh! Nimeambiwa habari nyiingi mi Iliyo nivusha ni ya YESU
Nimesikia sauti nyingi sana mimi Iliyo ni ganga moyo ni ya YESU Nimeambiwa vitu vingi sana Nilipo ambiwa na YESU nikapoona
Aah YESU ni tumaini Mahali pamepoteza time Nilipaza sauti ili watu wanielewe Akanielewa Masia
Nikajaribu jitetea watu wajue Akaniambia nimekutetea mwanangu Akaniuliza una msikiliza nani Nisikilize mwanangu utapona
Akasema ondoa aah kusikiliza wengine Ukinisikiliza mimi utaishi Nimesikia sauti za watu wengi Lakini ya YESU ikaniponya eeeh! Nimesikia (Sikia) sauti nyiingi
Ikiniambia, iliyoniponya (Endelea) Ni ya YESU (Nimekujua aah!) Nimesikia (Eeh) sauti nyiingi Sauti ya YESU, Iliyoniponya (Ni ya upole) Ni ya YESU uuh!
Aaaah ahsante YESU wangu Umeponya wema wangu Baba aah Uuuuh uuh hallelujah YESU wewe ni wa wote eeh Naomba Baba sikika kwa wengine Wengi wamekosa, pakuelekea
Wakikusikia wewe watapona aaah Wameambiwa hawataweza kabisa Wakikusikia Masia wataweza Ameambiwa hawana tumaini Ukisikika kwao wataishi Uliposikika Israel walitoka Misri
Video
Martha Mwaipaja-Nimesikia Sauti (Official Video)