Ben Cyco - Yahweh Lyrics
Lyrics
Tarara tararara Ah ni Cyco
Ninayoyapitia sio mambo mageni kwako Wewe Bwana hakuna kinachokushangaza Ninapodhani maisha yangu kwisha sasa nazama Wanihifadhi ninapojikanganya
Ninayoyapitia sio mambo mageni kwako Wewe Bwana hakuna kinachokushangaza Ninapodhani maisha yangu kwisha sasa nazama Wanihifadhi ninapojikanganya
Yahweh hakuna mwingine kama wewe Yahweh umetukuka Yahweh hakuna mwingine kama wewe Yahweh umetukuka
Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Yahweh
Maadui waliponizingira ulinipigania Meza ukaniandalia Kikombe changu sasa kinafurika Wewe ni wa hakika, ndo maana ninakukimbilia
Wafungue macho wakuone, tena wakuseme Kama ulivyonitendea Wafungue macho wakuone, tena wakuseme Kama ulivyonitendea
Yahweh hakuna mwingine kama wewe Yahweh umetukuka Yahweh hakuna mwingine kama wewe Yahweh umetukuka
Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Yahweh
Yahweh, Yahweh, Yahweh Nani kama wewe Yahweh, Yahweh, Yahweh Nani kama wewe
Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Yahweh
Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Hakuna kama wewe, kama wewe Yahweh
Video
Ben Cyco - Yahweh (Official Music Video)