Zekaria 13 : 8 Zechariah chapter 13 verse 8

Swahili English Translation

Zekaria 13:8

Hata itakuwa, ya kwamba katika nchi yote mafungu mawili yatakatiliwa mbali, nao watakufa, asema Bwana; lakini fungu la tatu litabaki humo.
soma Mlango wa 13

Zechariah 13:8

It shall happen that in all the land," says Yahweh, Two parts in it will be cut off and die; But the third will be left in it.