Ruthu 4 : 4 Ruth chapter 4 verse 4

Swahili English Translation

Ruthu 4:4

nami ilikuwa nia yangu nikujulishe wewe, na kukuambia, Uinunue mbele ya hawa waliopo na mbele ya wazee wa watu wangu. Kama wewe utaikomboa, haya, uikomboe; lakini kama hutaikomboa, uniambie ili nijue mimi; kwa kuwa hakuna mtu wa kuikomboa ila wewe, na baada yako ni mimi. Naye akasema, Nitaikomboa mimi.
soma Mlango wa 4

Ruth 4:4

I thought to disclose it to you, saying, Buy it before those who sit here, and before the elders of my people. If you will redeem it, redeem it: but if you will not redeem it, then tell me, that I may know; for there is none to redeem it besides you; and I am after you. He said, I will redeem it.