Warumi 5 : 19 Romans chapter 5 verse 19

Swahili English Translation

Warumi 5:19

Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.
soma Mlango wa 5

Romans 5:19

For as through the one man's disobedience many were made sinners, even so through the obedience of the one will many be made righteous.