Warumi 5 : 19 Romans chapter 5 verse 19
Swahili | English Translation |
---|---|
Warumi 5:19
Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.
|
Romans 5:19For as through the one man's disobedience many were made sinners, even so through the obedience of the one will many be made righteous. |