Warumi 5 : 16 Romans chapter 5 verse 16

Swahili English Translation

Warumi 5:16

Wala kadiri ya yule mtu mmoja aliyefanya dhambi si kadiri ya kile kipawa; kwa maana hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja ikaleta adhabu; bali karama ya neema ilikuja kwa ajili ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.
soma Mlango wa 5

Romans 5:16

The gift is not as through one who sinned: for the judgment came by one to condemnation, but the free gift came of many trespasses to justification.