Warumi 4 : 9 Romans chapter 4 verse 9

Swahili English Translation

Warumi 4:9

Basi je! Uheri huo ni kwa hao waliotahiriwa, au kwa hao pia wasiotahiriwa? Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.
soma Mlango wa 4

Romans 4:9

Is this blessing then pronounced on the circumcised, or on the uncircumcised also? For we say that faith was accounted to Abraham for righteousness.