Zaburi 18 : 11 Psalms chapter 18 verse 11

Swahili English Translation

Zaburi 18:11

Alifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha, Kuwa hema yake ya kumzunguka. Giza la maji na mawingu makuu ya mbinguni.
soma Mlango wa 18

Psalms 18:11

He made darkness his hiding-place, his pavilion around him, Darkness of waters, thick clouds of the skies.