Wafilipi 2 : 27 Philippians chapter 2 verse 27
Swahili | English Translation |
---|---|
Wafilipi 2:27
Kwa maana alikuwa hawezi kweli kweli, karibu na kufa; lakini Mungu alimhurumia; wala si yeye peke yake, ila na mimi pia; nisiwe na huzuni juu ya huzuni.
|
Philippians 2:27For indeed he was sick, nearly to death, but God had mercy on him; and not on him only, but on me also, that I might not have sorrow on sorrow. |