Obadia 1 : 16 Obadiah chapter 1 verse 16

Swahili English Translation

Obadia 1:16

Kwa maana kama vile mlivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote watakavyokunywa daima; naam, watakunywa na kubabaika, nao watakuwa kana kwamba hawakuwa kamwe.
soma Mlango wa 1

Obadiah 1:16

For as you have drunk on my holy mountain, so will all the nations drink continually. Yes, they will drink, swallow down, and will be as though they had not been.