Hesabu 6 : 21 Numbers chapter 6 verse 21

Swahili English Translation

Hesabu 6:21

Sheria ya Mnadhiri awekaye nadhiri ni hiyo, tena ni sheria ya sadaka yake atakayomtolea Bwana kwa ajili ya kujitenga kwake, pamoja na vitu vile ambavyo aweza kuvipata zaidi; kama nadhiri yake awekayo ilivyo, ndivyo impasavyo kufanya kwa kuiandama sheria ya kujitenga kwake.
soma Mlango wa 6

Numbers 6:21

"This is the law of the Nazirite who vows, and of his offering to Yahweh for his separation, besides that which he is able to get. According to his vow which he vows, so he must do after the law of his separation."