Hesabu 5 : 8 Numbers chapter 5 verse 8

Swahili English Translation

Hesabu 5:8

Lakini kwamba mtu huyo hana jamaa ya karibu ambaye inampasa kurudishiwa kwa ajili ya hiyo hatia, kile kitakachorudishwa kwa Bwana kwa hiyo hatia kitakuwa cha kuhani, pamoja na kondoo mume wa upatanisho, ambaye kwa huyo utafanywa upatanisho kwa ajili yake.
soma Mlango wa 5

Numbers 5:8

But if the man has no kinsman to whom restitution may be made for the guilt, the restitution for guilt which is made to Yahweh shall be the priest's; besides the ram of the atonement, by which atonement shall be made for him.