Hesabu 32 : 13 Numbers chapter 32 verse 13

Swahili English Translation

Hesabu 32:13

Na hasira za Bwana ziliwaka juu ya Israeli, naye akawatembeza huku na huku jangwani muda wa miaka arobaini, hata kizazi hicho kizima kilichokuwa kimefanya uovu machoni pa Bwana kikaisha angamia.
soma Mlango wa 32

Numbers 32:13

Yahweh's anger was kindled against Israel, and he made them wander back and forth in the wilderness forty years, until all the generation, who had done evil in the sight of Yahweh, was consumed.