Hesabu 30 : 12 Numbers chapter 30 verse 12

Swahili English Translation

Hesabu 30:12

Lakini kama mumewe alizibatilisha na kuzitangua siku hiyo aliyozisikia, ndipo kila neno lililotoka midomoni mwake katika hizo nadhiri zake, au katika kile kifungo cha nafsi yake, halitathibitika; huyo mumewe amezitangua; na Bwana atamsamehe.
soma Mlango wa 30

Numbers 30:12

But if her husband made them null and void in the day that he heard them, then whatever proceeded out of her lips concerning her vows, or concerning the bond of her soul, shall not stand: her husband has made them void; and Yahweh will forgive her.