Hesabu 28 : 9 Numbers chapter 28 verse 9

Swahili English Translation

Hesabu 28:9

Tena katika siku ya Sabato watasongezwa wana-kondoo wawili, waume wa mwaka wa kwanza, wakamilifu, pamoja na sehemu ya kumi mbili za efa za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka yake ya kinywaji;
soma Mlango wa 28

Numbers 28:9

On the Sabbath day two he-lambs a year old without blemish, and two tenth parts [of an ephah] of fine flour for a meal-offering, mixed with oil, and the drink-offering of it: