Hesabu 18 : 28 Numbers chapter 18 verse 28

Swahili English Translation

Hesabu 18:28

Hivyo ninyi nanyi mtasongeza sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana katika zaka zenu zote, mpokeazo mikononi mwa wana wa Israeli; kwa hiyo mtampa Haruni kuhani hiyo sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana.
soma Mlango wa 18

Numbers 18:28

Thus you also shall offer a heave-offering to Yahweh of all your tithes, which you receive of the children of Israel; and of it you shall give Yahweh's heave-offering to Aaron the priest.