Hesabu 18 : 24 Numbers chapter 18 verse 24

Swahili English Translation

Hesabu 18:24

Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote.
soma Mlango wa 18

Numbers 18:24

For the tithe of the children of Israel, which they offer as a heave-offering to Yahweh, I have given to the Levites for an inheritance: therefore I have said to them, Among the children of Israel they shall have no inheritance.