Hesabu 18 : 20 Numbers chapter 18 verse 20

Swahili English Translation

Hesabu 18:20

Kisha Bwana akamwambia Haruni, Wewe hutakuwa na urithi katika nchi yao, wala hutakuwa na fungu lo lote kati yao; mimi ni fungu lako, na urithi wako, katika wana wa Israeli.
soma Mlango wa 18

Numbers 18:20

Yahweh said to Aaron, You shall have no inheritance in their land, neither shall you have any portion among them: I am your portion and your inheritance among the children of Israel.