Hesabu 18 : 15 Numbers chapter 18 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
Hesabu 18:15
Kila kifunguacho tumbo, cha wenye mwili wote watakachomsongezea Bwana cha wanadamu na cha wanyama, ni chako; lakini mzaliwa wa kwanza wa binadamu, huna budi utamkomboa, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama wasio safi utamkomboa.
|
Numbers 18:15Everything that opens the womb, of all flesh which they offer to Yahweh, both of man and animal shall be yours: nevertheless the firstborn of man shall you surely redeem, and the firstborn of unclean animals shall you redeem. |