Hesabu 11 : 18 Numbers chapter 11 verse 18

Swahili English Translation

Hesabu 11:18

Kisha uwaambie watu hawa, Jitakaseni nafsi zenu kabla ya kesho, nanyi mtakula nyama; kwa maana mmelia masikioni mwa Bwana, mkisema, Ni nani atakayetupa nyama, tule? Maana huko Misri tulikuwa na uheri. Basi kwa sababu hiyo Bwana atawapa nyama, nanyi mtakula.
soma Mlango wa 11

Numbers 11:18

Say you to the people, Sanctify yourselves against tomorrow, and you shall eat flesh; for you have wept in the ears of Yahweh, saying, Who shall give us flesh to eat? for it was well with us in Egypt: therefore Yahweh will give you flesh, and you shall eat.