Nehemia 5 : 12 Nehemiah chapter 5 verse 12

Swahili English Translation

Nehemia 5:12

Ndipo wakasema, Tutawarudishia, wala hatutataka kitu kwao; tutafanya hivyo, kama ulivyosema. Kisha nikawaita makuhani, nikawaapisha, ya kwamba watafanya kama ahadi hiyo.
soma Mlango wa 5

Nehemiah 5:12

Then said they, We will restore them, and will require nothing of them; so will we do, even as you say. Then I called the priests, and took an oath of them, that they would do according to this promise.