Nehemia 11 : 24 Nehemiah chapter 11 verse 24

Swahili English Translation

Nehemia 11:24

Na Pethahia, mwana wa Meshezabeli, wa wana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa wakili wa mfalme kwa habari ya mambo yote ya watu.
soma Mlango wa 11

Nehemiah 11:24

Pethahiah the son of Meshezabel, of the children of Zerah the son of Judah, was at the king's hand in all matters concerning the people.