Mathayo 26 : 47 Matthew chapter 26 verse 47
Swahili | English Translation |
---|---|
Mathayo 26:47
Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Thenashara akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.
|
Matthew 26:47While he was still speaking, behold, Judas, one of the twelve, came, and with him a great multitude with swords and clubs, from the chief priest and elders of the people. |