Mathayo 26 : 47 Matthew chapter 26 verse 47

Swahili English Translation

Mathayo 26:47

Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Thenashara akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.
soma Mlango wa 26

Matthew 26:47

While he was still speaking, behold, Judas, one of the twelve, came, and with him a great multitude with swords and clubs, from the chief priest and elders of the people.