Malaki 4 Swahili & English
Listen/Download AudioMalaki 4 (Swahili) | Malachi 4 (English) |
---|---|
Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuru; na watu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwa makapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema Bwana wa majeshi; hata haitawaachia shina wala tawi. Malaki 4:1 |
"For, behold, the day comes, it burns as a furnace; and all the proud, and all who work wickedness, will be stubble; and the day that comes will burn them up," says Yahweh of Hosts, "that it shall leave them neither root nor branch. |
Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza kama ndama wa mazizini. Malaki 4:2 |
But to you who fear my name shall the sun of righteousness arise with healing in its wings. You will go out, and leap like calves of the stall. |
Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu; katika siku ile niifanyayo, asema Bwana wa majeshi. Malaki 4:3 |
You shall tread down the wicked; for they will be ashes under the soles of your feet in the day that I make," says Yahweh of Hosts. |
Ikumbukeni torati ya Musa, mtumishi wangu, niliyomwamuru huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote, naam, amri na hukumu. Malaki 4:4 |
"Remember the law of Moses my servant, which I commanded to him in Horeb for all Israel, even statutes and ordinances. |
Angalieni, nitawapelekea Eliya nabii, kabla haijaja siku ile ya Bwana, iliyo kuu na kuogofya. Malaki 4:5 |
Behold, I will send you Elijah the prophet before the great and terrible day of Yahweh comes. |
Naye ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, ili nisije nikaipiga dunia kwa laana. Malaki 4:6 |
He will turn the hearts of the fathers to the children, and the hearts of the children to their fathers, lest I come and strike the earth with a curse." |