Luka 15 : 25 Luke chapter 15 verse 25

Swahili English Translation

Luka 15:25

Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwako shamba na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na machezo.
soma Mlango wa 15

Luke 15:25

"Now his elder son was in the field. As he came near to the house, he heard music and dancing.