Mambo ya Walawi 7 : 35 Leviticus chapter 7 verse 35

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 7:35

Hii ndiyo sehemu ya Haruni, na sehemu ya wanawe, katika kutiwa mafuta kwao, katika hizo dhabihu zisongezwazo kwa Bwana kwa njia ya moto, siku hiyo aliyowaweka ili wamtumikie Bwana katika kazi ya ukuhani;
soma Mlango wa 7

Leviticus 7:35

This is the anointing portion of Aaron, and the anointing portion of his sons, out of the offerings of Yahweh made by fire, in the day when he presented them to minister to Yahweh in the priest's office;