Mambo ya Walawi 7 : 20 Leviticus chapter 7 verse 20

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 7:20

lakini mtu huyo atakayekula katika nyama ya sadaka za amani, ambazo ni za Bwana, na unajisi wake akiwa nao juu yake, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.
soma Mlango wa 7

Leviticus 7:20

but the soul who eats of the flesh of the sacrifice of peace offerings, that belongs to Yahweh, having his uncleanness on him, that soul shall be cut off from his people.