Mambo ya Walawi 23 : 20 Leviticus chapter 23 verse 20

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 23:20

Kisha kuhani atawatikisa pamoja na hiyo mikate ya malimbuko kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Bwana, pamoja na wale wana-kondoo wawili; watakuwa watakatifu kwa Bwana, wawe wa huyo kuhani.
soma Mlango wa 23

Leviticus 23:20

The priest shall wave them with the bread of the first fruits for a wave offering before Yahweh, with the two lambs. They shall be holy to Yahweh for the priest.