Mambo ya Walawi 23 : 18 Leviticus chapter 23 verse 18

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 23:18

Nanyi, pamoja na hiyo mikate, mtasongeza wana-kondoo saba, walio wakamilifu, wa mwaka wa kwanza, na ng'ombe mume mmoja, na kondoo waume wawili; watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, pamoja na sadaka yao ya unga, na sadaka zao za kinywaji, sadaka ya harufu ya kupendeza iliyosongezwa kwa Bwana kwa njia ya moto.
soma Mlango wa 23

Leviticus 23:18

You shall present with the bread seven lambs without blemish a year old, one young bull, and two rams. Yhey shall be a burnt offering to Yahweh, with their meal offering, and their drink offerings, even an offering made by fire, of a sweet aroma to Yahweh.