Mambo ya Walawi 23 : 18 Leviticus chapter 23 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 23:18
Nanyi, pamoja na hiyo mikate, mtasongeza wana-kondoo saba, walio wakamilifu, wa mwaka wa kwanza, na ng'ombe mume mmoja, na kondoo waume wawili; watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, pamoja na sadaka yao ya unga, na sadaka zao za kinywaji, sadaka ya harufu ya kupendeza iliyosongezwa kwa Bwana kwa njia ya moto.
|
Leviticus 23:18You shall present with the bread seven lambs without blemish a year old, one young bull, and two rams. Yhey shall be a burnt offering to Yahweh, with their meal offering, and their drink offerings, even an offering made by fire, of a sweet aroma to Yahweh. |