Mambo ya Walawi 21 : 8 Leviticus chapter 21 verse 8

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 21:8

Kwa hiyo basi utamtakasa; kwa kuwa yeye husongeza chakula cha Mungu wako; atakuwa mtakatifu kwako wewe; kwa kuwa mimi Bwana niwatakasaye ninyi ni mtakatifu.
soma Mlango wa 21

Leviticus 21:8

You shall sanctify him therefore; for he offers the bread of your God: he shall be holy to you: for I Yahweh, who sanctify you, am holy.