Mambo ya Walawi 21 : 23 Leviticus chapter 21 verse 23
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 21:23
Lakini hataingia ndani ya pazia, wala asikaribie madhabahu, kwa sababu ana kilema; ili kwamba asipanajisi patakatifu pangu; kwa kuwa mimi ndimi Bwana niwatakasaye.
|
Leviticus 21:23He shall not come near to the veil, nor come near to the altar, because he has a blemish; that he may not profane my sanctuaries, for I am Yahweh who sanctifies them.'" |