Mambo ya Walawi 21 : 12 Leviticus chapter 21 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 21:12
wala asitoke katika mahali patakatifu, wala asipatie unajisi mahali patakatifu pa Mungu wake; kwa kuwa utakaso wa hayo mafuta ya kutiwa ya Mungu wake u juu yake; mimi ndimi Bwana.
|
Leviticus 21:12neither shall he go out of the sanctuary, nor profane the sanctuary of his God; for the crown of the anointing oil of his God is upon him. I am Yahweh. |