Mambo ya Walawi 19 : 8 Leviticus chapter 19 verse 8

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 19:8

lakini kila mtu atakayekula atauchukua uovu wake mwenyewe, kwa sababu amekinajisi kitu hicho kitakatifu cha Bwana; na nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.
soma Mlango wa 19

Leviticus 19:8

but everyone who eats it shall bear his iniquity, because he has profaned the holy thing of Yahweh, and that soul shall be cut off from his people.