Mambo ya Walawi 19 : 36 Leviticus chapter 19 verse 36

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 19:36

Mizani ya haki, vipimo vya haki, efa ya haki, hini ya haki, ndivyo mtakavyokuwa navyo. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri.
soma Mlango wa 19

Leviticus 19:36

Just balances, just weights, a just ephah, and a just hin, shall you have. I am Yahweh your God, who brought you out of the land of Egypt.