Mambo ya Walawi 18 : 25 Leviticus chapter 18 verse 25

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 18:25

na hiyo nchi imekuwa najisi; kwa ajili ya hayo naipatiliza uovu wake juu yake, na hiyo nchi yatapika wenyeji wake na kuwatoa.
soma Mlango wa 18

Leviticus 18:25

The land was defiled: therefore I punished its iniquity, and the land vomitted out her inhabitants.