Mambo ya Walawi 10 : 9 Leviticus chapter 10 verse 9

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 10:9

Usinywe divai wala kileo cho chote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;
soma Mlango wa 10

Leviticus 10:9

"Drink no wine nor strong drink, you, nor your sons with you, when you go into the Tent of Meeting, that you don't die: it shall be a statute forever throughout your generations: