Mambo ya Walawi 10 : 1 Leviticus chapter 10 verse 1
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 10:1
Na Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakatwaa kila mtu chetezo chake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa moto wa kigeni mbele ya Bwana, ambao yeye hakuwaagiza.
|
Leviticus 10:1Nadab and Abihu, the sons of Aaron, each took his censer, and put fire in it, and laid incense on it, and offered strange fire before Yahweh, which he had not commanded them. |