Maombolezo 1 : 10 Lamentations chapter 1 verse 10

Swahili English Translation

Maombolezo 1:10

Huyo mtesi amenyosha mkono wake Juu ya matamaniko yake yote; Maana ameona ya kuwa makafiri wameingia Ndani ya patakatifu pake; Ambao kwa habari zao wewe uliamuru Wasiingie katika kusanyiko lako.
soma Mlango wa 1

Lamentations 1:10

The adversary has spread out his hand on all her pleasant things: For she has seen that the nations are entered into her sanctuary, Concerning whom you did command that they should not enter into your assembly.