Waamuzi 9 : 35 Judges chapter 9 verse 35

Swahili English Translation

Waamuzi 9:35

Huyo Gaali mwana wa Ebedi akatoka nje, akasimama penye maingilio ya lango la mji; naye Abimeleki na hao watu waliokuwa pamoja naye wakainuka kutoka mahali pale walipokuwa wanavizia.
soma Mlango wa 9

Judges 9:35

Gaal the son of Ebed went out, and stood in the entrance of the gate of the city: and Abimelech rose up, and the people who were with him, from the ambush.