Waamuzi 9 : 35 Judges chapter 9 verse 35
Swahili | English Translation |
---|---|
Waamuzi 9:35
Huyo Gaali mwana wa Ebedi akatoka nje, akasimama penye maingilio ya lango la mji; naye Abimeleki na hao watu waliokuwa pamoja naye wakainuka kutoka mahali pale walipokuwa wanavizia.
|
Judges 9:35Gaal the son of Ebed went out, and stood in the entrance of the gate of the city: and Abimelech rose up, and the people who were with him, from the ambush. |